7 messages reçus
Kwa familia y’a Dada Tausi, watoto wake na Kaka yake ndugu Ngabo
Dada Tausi amemaliza safari yake duniani na kuanza maisha mapya ya milele. Bwana Ametoa, na Bwana Ametwa, Jina la Bwana Libarikiwe! Ndugu zangu, ninafahamu maumivu kwa familia ni mengi. Kwa maana hiyo, Mungu wa mbingu na nchi awalinde na awe nanyi katika kipindi hiki na hapo baadae. Zaidi ya yote, awaandalie mwisho mzuri katika yeye atutiyaye nguvu.
Dada Tausi alipambana kwa jasho, damu na roho kuishi maisha yenye maana kubwa. Alivumilia mengi, alifanya kazi kwa bidii saana, alimupenda Mungu na watu, na zaidi sana, aliwapenda watoto wake na ndugu zake. Tausi alinipenda na familia yangu pampa na kabisa. Aliniita kaka yake. Muniruhusu kabla ya kumaliza ujumbe huu nimwambie maneno machache: Dada Tausi pumzika kwa amani! Umemaliza vita na sisi tunaendelea hadi pale tutakapoitwa. Nilizungumza nawewe, tulichangia chakula ulipokuja kuniona nyumbani na watoto, tulisali pamoja kabisani. Na kila nilipokuja nyumbani kwako tulikula na kunywa, tukafurahi, tukazungumza na kumaliza kwa kuomba. Ninakushukuru kwa roho yako safi. Hekima na maarifa vilikuongoza na vitaongoza watoto wako maana Mungu yako pamoja nao. Mungu ataongoza pia Kaka yako Ngabo na familia yake na ndugu zako wote. Pumzika kwa vizuri na Asante sana kwa yote!
Kwaherini!
Pst Protais Nyandwi, le 13 décembre 2022
À la famille
En mon nom et celui de ma famille, nous vous adressons nos plus sincères condoléances en ce moment de deuil et vous offrons toute notre sympathie et notre soutien. Nous vous souhaitons tout le réconfort, le soutien, le courage et la bienveillance que vous méritez en cette période difficile.

Que mon soutien
réchauffe votre coeur
Fadjo St-James (Billy), le 13 décembre 2022
La Famille
My deepest condolences to the family during this time, No amount of words can express the pain that you are going through. We are sending you love and prayers and hope you are able to find strength during this dark time.

Que mon soutien
réchauffe votre coeur
Aaron saidi nduwayo , le 13 décembre 2022
La famille Tausi
Chère famille, recevez nos condoléances! Mon mari et moi ainsi que nos enfants prions le Seigneur de vous garder et de vous donner la capacité de traverser cette période douloureuse. Que l'Éternel soit votre soutien tout au long de votre vie, car nous savons que Tausi sera toujours gravée dans nos mémoires.
Chers enfants, soyez fortifiés dans le Seigneur. Celui qui a aimé votre maman s'occupera de vous et vous réussirez dans vos entreprises par la grace de Dieu! Il est toujours fidèle et ne change pas!

Que mon soutien
réchauffe votre coeur
Mama Pste Domitille, le 13 décembre 2022
La Famille Tausi,
Imana Data wa twese yo mw ijuru, Yo nyenububasha n ubushobozi bgose, Ibagumbire,Ibirure mu mubabaro ntangere murimwo.
Ibahe inkomezi zo kurengera no kwihangana.
Imana ibakomeze mube abahizi.
Mw Izina rya Yesu Kristo.
Samson, le 16 décembre 2022
La famille Taussi
Membre de l église ALL Nation full gospel church de Québec, je viens vous présenter mes condoléances. En cette période difficile, que le Seigneur soit votre refuge. Que son amour vous entoure et vous rassure car il vous aime.
Que la paix de Jesus et son amour soient dans votre cœur.
Laurence, le 17 décembre 2022
la famille
Toutes mes sincères condoléances aux enfants et à la famille de feu Taussi Radjabu.Une Maman est précieuse aux enfants,Que Dieu donne aux enfants et à toute la famille la force nécessaire pour passer à travers ce moment dans leur vie.Puisse son âme repose en paix

Que mon soutien
réchauffe votre coeur
MUGISHA Eloge, le 17 décembre 2022